Friday, May 31, 2013

Haya ndiyo matokeo ya kidato cha sita 2013 kwa shule mbili za A- LEVEL katika wilaya yetu ya Manyoni, na nafasi za shule hizo kimkoa na kitaifa.

MWANZI : DIV: I=0, II=14, III=24, IV=0, 0=0 Kimkoa, imeshika nafasi ya 2 kati ya shule 6
                                                                            Kitaifa imeshika nafasi 53 kati ya shule 329

ITIGI: DIV: I=0, II=6, III=45, IV=0, 0=0             Kimkoa, imeshika nafasi ya 4 kati ya shule 6
                                                                            Kitaifa imeshika nafasi 100 kati ya shule 329

Ukitaka kuingia moja kwa moja kuona matokeo ya shule hizo bofya hapa


ITIGI SEC:  http://www.necta.go.tz/matokeo_html_2013/ACSEE_2013/s1032.htm