Thursday, December 1, 2016

MWANZI DAY: PICHA ZAIDI YA 40 ZA TUKIO ZIMA HIZI HAPA

Na. Mwl. Venance
Tarehe 30/11/2016 ilikuwa siku maalumu kwa walimu wa Shule ya Sekondari Mwanzi. Walimu walifunga mwaka wa masomo 2016 kwa kushiriki michezo mbalimbali. Siku hiyo maalumu ilipewa jina la Mwanzi Day. picha za tukio hilo hizi hapa:



  Walimu wakijadiliana jambo kabla ya kuelekea uwanjani



 Kwaito ilichezwa kama kawaida

 Mwl. Moris akifanya mazoezi ya kukimbia na gunia
 kabla ya kushiriki mchezo huo

 Walimu katika pozi



 Mwl. Venance akifanya yake kama Mc akisaidiana na 
Mwl Moris (aliyekaa juu ya meza)

 Mkuu wa Shule akimpongeza Mwl. Mwabeza 
kwa kuwa mshindi wa kwanza katika mchezo wa kukuna nazi

 Mwl. Venance katika mchezo wa kukuna nazi


 Mwl. Mwabeza katika Mchezo wa kukuna nazi

 Mwl. Mwaigonela akipongezwa na Mkuu wa Shule
 kwa kuwa mshindi wa kwanza mbio za mita 100 wanawake

 Mwl. Venance (kushoto) na Mwl. Mwabeza 
wakishiriki mchezo wa kukuna nazi



 Mzee wa mikwara, Mwl. Manyasa akionesha manjonjo yake


Mwl. Mandia na wanafunzi wa kidato cha kwanza



Walimu katika pozi


Mwl. Maghway akionesha mfano jinsi ya kushiriki zoezi la kukuna nazi

Mwl. Ginatio akionesha mfano jinsi ya kushiriki zoezi la kukuna nazi

 Mkuu wa Shule pamoja na walimu wake wakifuatilia 
michezo inayoendelea kwa umakini


 Walimu wakijadiliana jambo kabla ya kushiriki mchezo wa kuvuta kamba

Mwl. Madata akipongezwa na Mkuu wa shule 
kwa kuwa mshindi katika mchezo wa mbio 
za kujaza mchanga katika chupa

 
Mwl. Mandia akipongezwa na Mkuu wa Shule kwa kuwa 
mshindi wa kwanza kurusha tufe

 Mkuu wa Shule akimpongeza Mwl. Japhet kwa kuwa 
mshindi wa mbio za kujaza mchanga kwenye chupa


 Mkuu wa Shule, Madam Lubasi akimpongeze Mwl. Yobele
kwa kuwa mshindi wa kwanza wa kutembea na yai kwa kijiko mdomoni

  Mwl. Yobele akishiriki katika mchezo wa kurusha tufe

  Mwl. Mandia akishiriki katika mchezo wa kurusha tufe

 Mwl. Moris akishiriki katika mchezo wa kurusha tufe

 Mwl. Sylvery akirusha tufe



 Walimu wakishiriki mchezo wa Rede

Mkuu wa Shule akimpongeza Mwl. Mandia 
kwa kuwa mshindi katika mchezo wa rede