Tuesday, October 21, 2014

PICHA ZA MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE 2014 YALIYOFANYIKA TAREHE 17/10/2014





Picha ya juu na chini, Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Manyoni 
Bi. Fatuma Tawafiq akiwasili Shuleni

 Katikati ni mkuu wa wilaya, kushoto mkuu wa shule Mwanzi Sec.
 Bi. Lubasi J. na kulia ni Afisa elimu Sekondari Manyoni Timoth Benard

 Mkuu wa wilaya akiasaini daftari la wageni

 Wakijadili jambo

 Msafara ukielekea ukumbini

Wanafunzi wakijiandaa kuingia ukumbini

 Wanafunzi wakijiandaa kuingia ukumbini

 Wakiingia ukumbini

 Meza kuu wakifuatilia kwa makini



 Mkuu wa shule akiwakaribisha wageni


 Wanafunzi wa kidato cha tano wakitoa burudani

 wanafunzi wa kidato cha tatu wakitoa burudani 
kwa njia ya vichekesho

 Baadhi ya wahitimu wakifuatilia kwa makini

 Meza kuu wakifuatilia kwa makini burudani iliyokuwa ikitolewa
 Wahitimu wakitoa burudani kwa kucheza kwaito

 Wahitimu wakisoma risala

 Maonesho ya mavazi hayakuwa nyuma pia
 Vipaji kibaooo!!! Mwanafunzi akivua jezi huku mpira
 ukiwa mgongoni bila mpira huo kuanguka


 Mkuu wa shule akisoma risala

 Afisa Elimu Sekondari akisalimia wageni


 Mwanafunzi wa kidato cha sita akipata zawadi 
kwa kufanya vizuri kitaaluma

Mwanafunzi wa kidato cha kwanza akipata zawadi 
kwa kufanya vizuri kitaaluma
Mwanafunzi wa kidato cha tatu akipata zawadi 
kwa kufanya vizuri kitaaluma

 UKAFIKA WAKATI WA MGENI RASMI KUTUNUKU VYETI WAHITIMU












Wanafunzi wanaotarajia kufanya mtihani ni wanafunzi 98, kati yao wasichana ni 45 na wavulana ni 54.

UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI MWANZI UNAWATAKIA WANAFUNZI HAWA MAANDALIZI MEMA YA MITIHANI YAO WANAYOTARAJIA KUANZA TAR. 03/11/2014

Picha na Mwl. Venance F.
Mwalimu wa Taaluma 









Wednesday, September 10, 2014

PICHA, WALIMU MWANZI WAWAAGA WALIMU WA MAZOEZI, WANAOHAMA NA KUWAPONGEZA WAENZAO WALIOTEULIWA KUWA WAKUU WA SHULE

Na.Mwl. Venance F.

Tarehe 05/09/2014 siku ya Ijumaa, walimu wa Mwanzi Sec. walifanya sherehe ya kuwaaga walimu wa mazoezi, kumwaga mwalimu mwezao aliyeahamia Chikuyu, na kuwapongeza walimu wenzao walioteuliwa kuwa wakuu wa Shule, walimu walioteuliwa kuwa wakuu wa shule ni pamoja na Janeth Lubasi kuwa Mkuu wa shule ya Sekondari Mwanzi na Mwl. Zaina Mshana aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Chikuyu. Tazama picha za tukio hilo la kuwaaga na kuwapongeza walimu hao.
 Walimu wakiingia ukumbini pamoja na wageni waalikwa


 MC. wa shughuli hiyo, Mwl. Venance akifanya yake


 MC. Mwl.Venance na Makamu mkuu wa shule, Mwl. Luka 
wakitoa burudani

 Mkuu wa Shule, Mwl. Lubasi, akifungua sherehe

 Mkuu wa Shule ya Chikuyu, Zaina Mshana ambaye
 alikuwa mwalimu wa Mwanzi

       MC. akiendelea kufanya yake

                                                                  Mambo ya msosi


Mkuu wa Shule Janeth Lubasi akitoa neno


 Muagwa, ambaye sasa ni Mkuu mpya
 wa Shule ya Sekondari Chikuyu


Baadhi ya walimu

Tunawashukuru walimu wote wa mazoezi na tunatwatakia masomo mema, karibuni tena Mwanzi, pia tunawapongeza Wakuu wapya Mwl. Lubasi (Mwanzi Sec.) na Mwl. Mshana (Chikuyu Sec.) tunawatakia kazi njema.

Na. Mwl. Venance F.
TAALUMA MWANZI SEC.