Monday, July 15, 2013
Friday, July 12, 2013
MWANZI SEKONDARI
WIZARA YA
ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
| ||||
WANAFUNZI WA MWANZI WALIOCHAGULIWA
KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO SHULE MBALIMBALI
Hawa ni wanafunzi waliomaliza Mwanzi Sec. na kuchaguliwa kuendelea na masomo ya kidato cha tano:
|
||||
| NO | EXAM NO | JINA LA MWANAFUNZI | SHULE AENDAYO | MASOMO |
| 1 | S0662/0086 | Elibarick Clement | Mwakaleli | HGK |
| 2 | S0662/0103 | Isack Noah | Moshi Tech | CBG |
| 3 | S0662/0130 | Paschali Makali | Lwangwa | PCM |
| 4 | S0662/0134 | Peter Julius | Binza | CBG |
| 5 | S0662/0150 | Stephano Christian | Mwanzi | PCM |
| 6 | S0662/0154 | Thomas Daniel | Bihawana | CBG |
| 7 | S0662/0156 | Tumaini Petro | Itigi | HGL |
| 8 | S0662/0027 | Limi Mshamindi | Bwiru Girls | CBG |
| 9 | S0662/0034 | Maria Simon | Kondoa Girls | HGK |
| 10 | S0662/0042 | Ocley Thadey | Maswa Girls | PCM |
| 11 | S0662/0054 | Rose Shedrack | Maswa Girls | PCM |
TUNAWATAKIA KILA LA HERI WANAFUNZI WOTE
WALIOPATA NAFASI YA KUENDELEA NA MASOMO YA KIDATO CHA TANO
|
||||
Sunday, June 30, 2013
ORODHA YA SHULE ZA SEKONDARI 1,200 ZITAKAZOFANYIWA UKARABATI
ORODHA YA SHULE ZA SEKONDARI 1,200 ZITAKAZOFANYIWA UKARABATI
NA. JINA LA SHULE WILAYA MKOA
1043 ITIGI SEKONDARI Manyoni Singida
1044 CHIKUYU Manyoni Singida
1045 MLEWA Manyoni Singida
1046 MANYONI Manyoni Singida
1047 NKONKO Manyoni Singida
WILAYA 15 AMBAKO ZITAJENGWA VYUO VYA UFUNDI STADI
AWAMU YA PILI
Na. WILAYA MKOA
1. Magu Mwanza
2. Serengeti Mara
3. Rorya Mara
4. Kongwa Dodoma
5. Manyoni Singida
6. Babati Manyara
7. Hanang Manyara
8. Mkuranga Pwani
9. Kyela Mbeya
10. Sumbawanga Rukwa
11. Nkasi Rukwa
12. Nanyumbu Mtwara
13. Tandahimba Mtwara
14. Liwale Lindi
15. Ruangwa Lindi
Friday, May 31, 2013
Haya ndiyo matokeo ya kidato cha sita 2013 kwa shule mbili za A- LEVEL katika wilaya yetu ya Manyoni, na nafasi za shule hizo kimkoa na kitaifa.
MWANZI : DIV: I=0, II=14, III=24, IV=0, 0=0 Kimkoa, imeshika nafasi ya 2 kati ya shule 6
Kitaifa imeshika nafasi 53 kati ya shule 329
ITIGI: DIV: I=0, II=6, III=45, IV=0, 0=0 Kimkoa, imeshika nafasi ya 4 kati ya shule 6
Kitaifa imeshika nafasi 100 kati ya shule 329
Ukitaka kuingia moja kwa moja kuona matokeo ya shule hizo bofya hapa
ITIGI SEC: http://www.necta.go.tz/matokeo_html_2013/ACSEE_2013/s1032.htm
Thursday, May 30, 2013
MATOKEO MAPYA YA KIDATO CHA NNE 2012 KWA SHULE 15 ZA MANYONI
KWA matokeo ya shule unayoitaka bofya link ya shule husika
Monday, March 11, 2013
Shule ya secondari mwanzi yapata mkuu mpya
Mwl. Ntiruka E.
Hatimaye shule ya secondari mwanzi imepata mkuu mpya anayejulikana kwa jina la Emanuel Ntiruka, mwalimu mkuu huyo mpya anayetoka shule ya secondari kizigo anachukua nafasi ya Ezra Shukia ambaye kwa mabadiliko hayo anaenda kuwa mkuu wa shule ya Rungwa. wakuu hao wametakiwa kuanza kazi katika vituo vyao vipya kuanzia jumatatu ya tarehe 11/03/2013 na tayari ndugu Ntiruka amesharipoti Mwanzi siku ya jana. mabadiliko hayo yametokea baada ya tetesi za muda mrefu za kubadilishiwa vituo baadhi ya walimu wakuu lengo likiwa ni kuongeza ufanisi.
Haya ni mabadiliko ya pili makubwa kutokea baada ya yale ya manyoni sekondari. ambapo mkuu wa shule hiyo ndugu Shalua kupelekwa mwanzi kuwa mwalimu wa kawaida na mama Lema aliyekuwa mkuu wa kamenyanga kuchukua nafasi hiyo. Habari za kuhamishwa kwa Shukia zilianza kusambaa ijumaa jioni wapo waliona habari hzo ni kama uzushi vile na wengine waliziamini.
Shukia J.E
Taarifa zaidi zinasema kuwa, mabadiliko hayo si kuwa yameikumba Mwanzi tu kama wengi wanavyodhani.
Hadi tunawaletea taarifa hizi hatujaweza kupata majina ya shule zingine na wakuu wake ambao wamekumbwa na mabadiliko hayo.
Ikumbukwe kuwa ndugu, Ntiruka kabla ya kwenda Kizigo alikuwa mwalimu wa Mwanzi kuanzia 2008, na 2009 aliteuliwa kukaimu nafasi ya Mkuu wa Shule hiyo baada ya aliyekuwa mkuu shuleni hapo mwl. Mjungu kustaafu. 2010 Ntiruka akapelekwa kizigo kuwa Mkuu wa shule hiyo akimkabidhi Shukia shule na sasa anarudi Mwanzi Shukia kumkabidhi Ntiruka Mwanzi.
Thursday, March 7, 2013
TAZAMA PICHA MBALIMBALI ZA ZIARA YA MKUU WA WILAYA SHULENI MWANZI SEC.
Makamu mkuu wa shule mwenye gauni kama la kitenge
akiwatanbulisha walimu kwa mkuu wa wilaya
kutoka kushoto,Afisa tarafa, Afisa Elimu Sekondari,
Makamu mkuu wa shule, Mkuu wa wilaya na Das
DAS akizungumza na wanafunzi
Afisa tarafa
mkuu wa wilaya akizungumza na wanafunzi
Walimu na mjumbe wa bodi ya shule
wa kwanza kulia wakisikiliza kwa makini
mkuu wa wilaya akizungumza na wanafunzi
mkuu wa wilaya akizungumza na wanafunzi
mkuu wa wilaya akizungumza na wanafunzi
Afisa Elimu Sekondari,makamu mkuu
wa shule, na mkuu wa wilaya
Subscribe to:
Posts (Atom)


